Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Ukizungumzia miundombinu ya michezo basi huwezi kuacha kutaja Bara la Afrika kwani lina viwanja vikubwa kadhaa ambavyo huvutia idadi kubwa ya watazamaji pale yanapofanyika matukio mbalimbali…
Wachezaji maarufu wa soka barani Afrika, ikiwa ni pamoja na washindi wa zamani wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika, walijiunga na wenzao wa Morocco katika…
Emery alifichua kwamba hakusalimiana na kikosi cha ufundi cha Arsenal baada ya ushindi mkubwa wa 1-0 kwa sababu Mikel Arteta hakuwepo. Meneja wa Arsenal alipigwa marufuku…
Habari za Chelsea zinaonyesha jinsi Mauricio Pochettino anavyo andamwa tena baada ya kupoteza 2-0 dhidi ya Everton Jumapili iliyopita. Meneja wa Chelsea, Mauricio Pochettino, anatarajiwa kukabiliwa…
Plan ya Simba SC ilikuwa inafanya kazi vizuri sana hasa bila mpira dhidi ya Wydad . 1: Muundo wa 4-5-1 bila mpira , na kwanini walitumia…
Kiungo wa klabu ya Simba, Sadio Kanoute ataukosa mchezo wa marudiano wa hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Wydad Athletic Club. Kanoute ataukosa…
Kuelekea msimu mpya wa ligi kuu ya wanawake Tanzania Bara, michuano ya ngao ya jamii ambayo msimu huu imekuja kwa muundo wa vilabu 4 kukutana hatua…
Duniani kuna michezo mingi ambayo kila mchezo una mashabiki wake ingawa mengine unaweza kuwa hata huifahamu. Miongoni mwa michezo inayofahamika na yenye mashabiki wengi duniani ni…
Stade de Marrakech ni uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Marrakech, Morocco. Uwanja huu una uwezo wa kuchukua takribani watazamaji 45,240 na unatumika hasa kwa…
Medeama walikuwa na 4-3-3 lakini walikuwa wakienda kushambulia wanakuwa 4-2-3-1 kiungo mmoja anakuwa nyuma ya straika Jonathan Sowah ambaye kulia na kushoto ana mawinga wawili ……