Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Ilipoishia ” Walipouvunja mlango walistaajabu sana, macho yaliwatoka kwa Mshangao. Japo walikua Maaskari polisi lakini washika vichwa vyao na wengine walishika viuno vyao, waliona jambo la…
Mchezo wa 25 kwa kila timu ukiwa ni mchezo wa ambao ni muhimu kwa timu zote mmoja akihitaji kushinda kujihakikishia ubingwa wa Ligi kuu ya NBC…
Ilipoishia “Jambo hilo lilimwacha Sofia akiwa mwenye tabasamu sana, kwa namna alivyokua na chuki za wazi kwa Salma asingeliweza kukubali Mali hizo zisimamiwe na Salma ambaye…
Ilipoishia ” Hadi kufikia hapo picha ya Muuwaji ilikua ni Msichana wa chini ya Miaka 30, mweusi, mzuri na aliyevaa Baibui, Daudi alizidi kupagawa, sasa swali…
Kibu Denis Prosper ndio ajenda iliyopo mezani kwa sasa na Tanzania nzima ipo mezani kujadili mada hii! Kwanza sipo hapa kuzungumza kuhusu Takwimu za Mchezaji wala…
Moja Ya mchezo wenye mvuto ndani yake kwani mchezo huo unakutanisha timu mbili tofauti zenye presha mbili tofauti kwani Simba SC anataka kumaliza nafasi Ya pili…
Ilipoishia Jana ” Haraka Salma alichukua Taxi akarejea nyumbani kwake, alikuta bado ndugu wapo wakimsubiria maana alishapiga simu kua ameachiwa huru. ” Tuendelee Sasa SEHEMU YA NNE…
Wengi wamekua wakiamini kuwa ni kama imekuwa kama dharau kwa mzawa kocha Juma Mgunda kila timu inapopoteana (mwendelezo mbovu) na makocha wa kigeni kutimuliwa au kuondoka…
Ilipoishia jana ” Pili alifikia maamuzi ya kukubali kua Muuaji aliyapanga vizuri Mauaji hayo kwa maana aliweza kufuta picha kadhaa kwenye Mboni ya Mzee Yusuf na…
Mimi naomba nitofautiane kidogo na wadau wengi wa Kijiweni hasahasa mashabiki wa timu hizi kubwa yaani Yanga pamoja mashabiki wa Simba ambao wanadai Fredy Koublan ni…