Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Ligi Kuu | Soka la Bongo
Edwin Balua amejiunga Simba kutoka Tanzania Prisons, huu ni usajili wa mchezaji wa kizawa ambaye anakuwa wa tatu baada ya Karabaka na Chasambu. Usajili huu unakuja…
Mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania umekua ni moja kati ya kitu ambacho kinawakutanisha watu wengi sana kwa wakati mmoja na kuweza kushuhudia mchezo wenyewe…
Katika ulimwengu wa michezo, kampuni za uzalishaji wa vifaa vya michezo zimekua na jukumu muhimu katika kukuza vipaji na kuimarisha tasnia ya michezo katika nchi mbalimbali.…
Tanzania (Taifa Stars) ni mojawapo ya nchi ambayo imebarikiwa kuwa na vipaji vingi sana vya soka ambavyo tumekua tukivishuhudia miaka na miaka kuanzia kizazi cha kina…
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ni mojawapo ya matukio makubwa ya soka barani Afrika. Timu kutoka kote barani hushiriki katika mashindano haya, na…
Soka, kama mchezo wa kimataifa, umekuwa njia kuu inayowasukuma vijana wa Kitanzania kuelekea kwenye malengo yao ya mafanikio. Kwa wengi, ndoto ya kucheza soka barani Ulaya…
Baada ya dirisha dogo la usajili Tanzania bara kufungwa na timu kadhaa zikiwa zimekwishafanya maboresho kadha wa kadha katika vikosi vyao kumeibuka mada nzito ambayo imekua…
Safari ya Pa Omar Jobe katika ulimwengu wa soka, Alizaliwa tarehe 26 Desemba 1998 huko Yundum, Gambia, miaka ya mwanzo ya Pa Omar Jobe iliongozwa na…
Joseph Guede, aliyezaliwa mnamo Agosti 23, 1994, huko Abidjan, Côte d’Ivoire, ni mchezaji wa soka wa kimataifa kutoka nchini humo, akiwa kwa sasa anacheza kama mshambuliaji…
Ligi ya Tanzania, inayojulikana pia kama Tanzanian Premier League (TPL), ni moja kati ya ligi maarufu za soka nchini Tanzania. Historia ya ligi hii inaanzia mwaka…