Browsing: Hadithi

Ilipoishia “Kuna kundi linaitwa MAFIA GANG, ni kundi maalum kwa ajili ya  Ugaidi…Mkuu wa kundi hili anaitwa John Brain ni mzungu  anayeishi Uskochi, Kazi yake ni…

Jasusi

Robert akiwa kwenye gari lake alianza kulia, akashindwa hata  kuendesha akaamua kusimama kando ya Barabara akiwa  anabubujikwa na machozi.  Machozi yakawa yanamtiririka Robert huku akizidi kulia…

Love & Pain

Ilipoishia “Joshua naomba tuonane kwenye mgahawa muda huu” Alisema Noela  kisha alikata simu, Desmond alishusha pumzi zake baada ya  kujiridhisha kuwa Noela hajagundua lolote maana kama …

Love & Pain

Ilipoishia “muda siyo mrefu sana alikuja na gari akasema umemuagiza na  alikuwa akijuwa hadi lilipokaa nikamiami, ina maana hukumtuna  Mtu?” aliuliza Mama Noela kwa mshangao, Noela…

Love & Pain

Ilipoishia “Basi twende nikusindikize” Alisema Mwanaume huyo, Lucia  aliingia kwenye gari, safari ilianza kuelekea nyumbani kwao  Noela, wakiwa Barabarani mwanaume huyo alionekana kumtongoza  Lucia lakini Lucia…

Love & Pain

Ilipoishia “Kumbukumbu ya Desmond iliishia hapo, alitikisa kichwa chake  kisha alielekea ofisini kwa Daktari wa Hospitali, Daktari  alipomuona Desmond alijuwa nini kimemleta, Desmond alianza  kumshambulia Daktari…

Love & Pain

Ilipoishia “Lucia alimpatia Noela bahasha hiyo yenye taarifa muhimu za  kesi, Desmond aliona makabidhiano hayo ya Bahasha kisha  wawili hao waliagana kila mmoja akashika barabara yake. …

Love & Pain

Ilipoishia “Haijulikani, mfumo hauitambui gari hiyo” Alisema Polisi huyo  kitu ambacho kilimshangaza sana Desmond, itakuwaje gari yake  isitambulike? Kibaya zaidi alikumbuka kuwa hakutoa chochote  kwenye ile…

Love & Pain

Ilipoishia “Usiku Lucia aliondoka Hospitalini akiwa hoi Bin taabani,  alipitia baa akaagiza pombe akanywa maana jambo lile halikuwa  la kawaida hasa kwa Mawanaume ambaye alimpenda ila…

Love & Pain

Ilipoishia “Ndani ya masaa matano Desmond alifanikiwa kufika Kijijini  hapo.  Alikijua vizuri kijiji hicho sababu yeye ndiye aliyemfuata  Sanga akawe mfanyakazi, alivalia kofia kisha alishuka kwenye …